Htimaye kiungo wa Klabu ya Barcelona ya Hispania Xavi Hernandez ameamua
kuachana na ukapela kwa kumuoa mchumba wake wa muda mrefu Nuria Cunillera,
ndoa iliyofungwa siku ya jumamosi usiku huku ikihudhuriwa na wachezaji wenzake akiwemo gwiji Lionel Messi.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment