MAJINA YA ASKARI 7 WALIOFARIKI DARFUR HAYA HAPA..... A+ A- Print Email Haya ni majina ya askari 7 waliofariki jumamosi ya Julai 13, ambao walikuwa kwenye vikosi vya kulinda amani nchini Sudan ,ripoti hiyo imetolewa na msemaji wa JWTZ, Kanali Kapambala Mgawe 1. Sajenti Shaibu Othuman, 2. Koplo Oswald Chaula, 3. Koplo Mohamed Juma, 4. Koplo Mohamed Chikilizo, 5. Pte. Rodney Ndunguru, 6. Pte. Peter Werema, 7. Pte. Fortunatus Msofe. R.I.P Soldiers source east Africa radio Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment