Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Msanii wa filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’.
Na Gladness Mallya/ Amani
KUTOKANA na umri kumtupa mkono, msanii wa filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ ameibuka na kutengua kauli aliyowahi kuitoa kwamba hawezi kuzaa nje ya ndoa na kusema kwa sasa yupo tayari kufanya hivyo muda wowote.

Akistorisha na Amani, Koleta alisema kwa sasa yupo tayari kuzaa hata bila ndoa kwani ni muda mrefu amekuwa akitamani kuitwa mama na amesubiri ndoa bila mafanikio.
“Umri unakwenda nami nahitaji kuitwa mama hivyo nikipata ujauzito nazaa kwani cha muhimu zaidi ni mtoto halafu kama Mungu amenipangia kuwa na ndoa itakuja baadaye,”  alisema Koleta.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top