Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mimi sijawahi kuona wanawake warembo kama weusi, ni warembo mno, infact wanavutia sana.

Cha kushangaza sasa, kuna mijitu yenye upungufu wa akili kichwani inajichubua bila huruma, kibaya sasa, kwenye zile joint za mikono na miguuni unakuta rangi yake ya asili inabaki, na hata sehemu zingine za mwili unakuta mabaka mabaka, yaani huwa nasikia hasira sana.

Ki ukweli Hata uwe Mzuri wa Aina Gani yaani Ukiwa  umejichubua ngozi mimi nakushusa samani 100% siwezi hata kukupa mistari , Na ukiangalia wanawake wengi waliojichubua ni watata hata kwenye ndoa zao huwa hazidumu kiivyo....

Maoni yako Tafadhali kuhusu Wanawake wanaojichubua

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top