Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Taswira baada ya ajali hiyo.

WATU watatu waliokuwa wakitembea kwa mguu wamepoteza maisha papo hapo baada ya kugongwa na gari dogo lililopoteza mwelekeo mkoani Njombe usiku wa kuamkia leo.
Gari dogo baada ya kuligonga lori la mafuta.

Gari hilo lilipoteza uelekeo baada ya kumulikwa na lori la mafuta lililokuwa mbele yake na kuwagonga watu hao kisha kulivaa hilo lori na kuharibika vibaya. Watu waliokuwa ndani ya lori hilo wamejeruhiwa vibaya.
Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo iliyoua watu watatu.

 
Lori la mafuta baada ya ajali.
Picha GPL
Bonyeza Hapa like page yetu

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top