Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Inasikitisha kwakweli, ameokolewa.... na simba walioanza kumla waliuwawa. aliingia kwenye jumba la simba akavua nguo na kuwadandia badae akachenjiwa...kwenye nguo zake kimekutwa kikaratasi-suicide note...kwamba mwisho wa dunia umefika kwahiyo anajiwahi.....ana miaka 20...inaonekana alikua muumini maana alikua akimtaja yesu....walioshuhudia wamesema....nchini Chile.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top