March 25, 2025 06:26:26 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Weekend iliyopita kipindi cha D’Weekend Chat Show cha Clouds TV kilijaribu kuwakutanisha Shilole na aliyekuwa boyfriend wake, Nuh Mziwanda kwa lengo la kutaka kuwapatanisha.

Jitihada za kuwakutanisha studio (bila wao kufahamu) zilifanikiwa, lakini lengo la kutaka kuwapatanisha liligonga mwamba, na Shilole alionekana kuchukizwa na kitendo cha kukutanishwa na ex wake bila mwenyewe kuridhia, huku Nuh alionekana kuwa tayari kile kilichokusudiwa kufanywa.

Tazama hapa kama hukupata nafasi ya kuona kipindi hicho:

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
19 Jan 2016

Post a Comment

 
Top