Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
WAGOMBEA RASMI WA URAIS NI 8 TU, WENGINE HAWAJAKIDHI VIGEZO.
Hatimaye katika vyama 12 vilivyochukua fomu za kugombea urais, ni vyama 8 tu ambavyo wagombea wake wamekidhi vigezo vya kugombea urais mwaka huu Tanzania. Vyama hivyo ni
CCM, CHADEMA, TLD, ADC, CHAUMA, ACT- WAZALENDO, NRA na UPDP.
Wagombea hao 8 na vyama vyao ni
1. John Magufuli (CCM)
2. Edward Lowassa (CHADEMA)
2. Anna Mghwira (ACT)
4. Fahmi Dovutwa (UPDP)
5. Chifu Lutalosa Yemba (ADC)
6. Janken Kasambala (NRA)
7. Hashim Rungwe (CHAUMA)
8. macmillan lyimo (TLP)
Wagombea wa vyama vitatu hawajakidhi vigezo vya kugombea urais wa Tanzania, vyama hivyo ni CCK, DP , TADEA.. Chama cha AFP chenyewe hakijafika kabisa katika ofisi za NEC kuleta fomu zake.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top