Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
kiba
Tetesi za uhusiano kati ya Jokate na Ali Kiba zimeendelea kubeba headlines nyingi kwenye mitandao ya kijamii lakini wenyewe mara nyingi wamekuwa wakikataa kuhusu stori hiyo, kuna ukweli wowote?
Ali Kiba na Jokate wameonekana pamoja tena Nairobi Kenya, akapewa nafasi MremboJokate kuzungumzia kwa mara nyingine kuhusu kile kinachosemwa wao kuwa na uhusiano wa kimapenzi.
Jokate amesema wanapeana sana support kimuziki, hakuna kingine chochote kinachoendelea kati yao.
Kingine Jokate amemsifu sana Ali kwamba jamaa sio mtu wa maneno mengi ndio maana amekuwa karibu naye, na kingine kizuri kwa Ali ni moyo wake… Kidoti anasema hata stori za Kiba kuhusishwa na beef hajui zinatokea wapi !!
Hapa anaanza Soudy Brown kuielezea U Heard yenyewe alafu yuko pia presenter wa XXL, B Dozen ambaye alikuwa Nairobi Kenya na ndio aliyepiga stori zote na Jokate na kumsogezea Gossip Cop 88.4 Dar es Salaam.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top