Chuo Kikuu cha Cape town
Vyuo vikuu vya Afrika Kusini ndio bora zaidi na maarufu barani Afrika.
Katika utafiti uliofanyika majuzi, vyuo vikuu vya Afrika Kusini vilishika nafasi 6 katika orodha ya vyuo vikuu kumi bora.
Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda kimeorodheshwa katika nafasi ya tatu.
Chuo kikuu cha Port Harcourt kilichoko Nigeria kimeorodhesha katika nafasi ya sita.
Chuo kikuu cha Nairobi nchini Kenya kimeorodheshwa katika nafasi ya nane.
Jarida la ”The Times Higher Education” lilitumia idadi na ubora nukuu kutoka kwa wasomi wake.
Je viwango vya ubora wa masomo na utafiti wa vyuo vikuu vya Afrika Mashariki vimeshuka ?
Jadili
1.Chuo kikuu cha Cape Town – Afrika Kusini
2.Chuo kikuu cha Witwatersrand – Afrika Kusini
3.Chuo kikuu cha Makerere – Uganda
4.Chuo kikuu cha Stellenbosch – Afrika Kusini
5.Chuo kikuu cha KwaZulu-Natal – Afrika Kusini
6.Chuo kikuu cha Port Harcourt – Nigeria
7.Chuo kikuu cha Western Cape – Afrika Kusini
8.Chuo kikuu cha Nairobi – Kenya
9.Chuo kikuu cha Johannesburg – Afrika Kusini
10.Chuo kikuu cha Cadi Ayyad – Morocco
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar22 Jan 20160
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kuru...Read more ?
- Rais Dkt. Magufuli Amteua Jakaya Kikwete Kuwa Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam.21 Jan 20160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ...Read more ?
- JANUARY MAKAMBAASHANGAZWA NA HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU LOWASSA02 Sep 20150
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfa...Read more ?
- Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi01 Sep 20150
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafun...Read more ?
- Wananchi Wafunga Barabara Baada ya Gari la Polisi Kugonga Wanafunzi wawili31 Aug 20150
Wananchi wa eneo la Misugusugu Wilayani Kibaha Mkoani Pwani hii leo wamefunga barabara baada ya...Read more ?
- Hali Tete Bunda, Viongozi CHADEMA Wajiuzulu...Kisa Ester Bulaya22 Aug 20150
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maend...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment