Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amechukua fomu ya kuwania urais kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
 
Maelfu ya wananchi wamejitokeza kumsindikiza kiongozi huyo aliyeanzia makao makuu madogo ya CCM Lumumba, Dar kuelekea ofisi za NEC.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top