March 16, 2025 05:29:38 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Tumetoka kushuhudia mchezaji Singano akisaidi mkataba na Azam F.C na kuanza kulipwa mshahara wa Tsh millioni mbili kwa mwezi. Huyu hapa ni mchezaji mwingine wa Tanzania ambae amesaini mkataba na club ya South Africa inaitwa Jomo Cosmos kwa mshahara wa $5000 kwa mwezi baada ya kukatwa kodi.

Taarifa hii exclusive imeinifikia kutoka kwenye vyanzo vya uhakika japokua signing fee imegomwa kutajwa. Mchezaji mwenyewe ni Uhuru Suleimani ambae amewai kucheza kwenye club za Mwadui F.C, Coastal Union, Mtibwa na Simba. Club hii imepanda ligi kuu maarufu kama PSL, so atacheza na wakina Ngassa.All the best na hizi ni picha ambazo nimezipata kwa ajili yako.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
17 Jul 2015

Post a Comment

 
Top