Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wema Sepetu alikuwa miongoni mwa watu wanaogombea Ubunge viti maalumu mkoani Singida lakini matokeo yalivyotoka hakupata ushindi kutokana na uchache wa kura lakini pamoja na hayo mashabiki wake walimuunga mkono kwa kuthubutu kwake na kumfanyia mapokezi haya Dar es salaam.
Staa huyo aliibuka na kupata kura za maoni za ubunge 90 huku wagombea wenza wakiongoza kwa kura za maoni, Asharose Mattembe (311), Martha Mlata ( 235) na Diana Chilolo (182).
.
.
.
Wema Sepetu akizungumza na mashabiki baada ya kutoka safarini.
.
.
.
.
.
Mashabiki wa Wema Sepetu .
3X6A7369
Ni miongoni mwa michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 mchana kwenye mapokezi hayo .
.
.
3X6A7554
.
.
.
.
.
.
.
3X6A7652
.
3X6A7584
Mtu wangu hii ni michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 katika mapokezi hayo.
3X6A7662
Wema Sepetu akipiga picha aina ya selfie na mashabiki zake.
3X6A7665
.
3X6A7676
.
3X6A7679
.
3X6A7683
.
3X6A7701
.
3X6A7703
.
3X6A7710
.
3X6A7714
Wema akipiga picha na shabiki.
3X6A7742
.
3X6A7756
.
3X6A7761
.
3X6A7768
Mashabiki.
3X6A7280
.
.
Petiman akipiga picha aina ya selfie na mashabiki.
.
Picha zote na Millard Ayo

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top