March 17, 2025 11:50:56 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Dr Slaa akihojiwa na Radio five ya Arusha Jana jioni nini maoni yake kuhusu uteuzi wa Magufuri kuwania Urais.

Ameongelea mengi lakini amesema iwapo UKAWA wakimpa nafasi na Watanzania wakampa kura za kutosha kushinda Urais atamtia Magufuli ndani ili kujibu tuhuma za uuzwaji wa Nyumba kwa bei ya kutupa.

Source: Radio five, Arusha 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
14 Jul 2015

Post a Comment

 
Top