March 17, 2025 03:36:21 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Ebu tujiulize swala moja vitukuu wa MMU.Nimefanya kajiutafiti nikagundua wanawake wengi wa Kitanzania au kiafrica wamekuwa tegemezi sana kwenye silaha moja tu.

MAKALIO YAO",Asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa wakitumia makalio yao"Wowowo"Kuwanasa wanaume haswa maofisini n.k.
Nimejiuliza bila makalio mbinuko hawa watu wangetumia nini kutunasa?

We wafuatilie watembeapo huzungusha makalio,wapigapo picha hubinuwa makalio,walalapo kwa Bed huyaweka makalio yao juu juu.

Hivi ina maana makalio yenu yamegeka silaha yenu?
Na hii imewachangia baadhi ya wanaumme wawaze kuwatafuna utumbo mdogo a.k.a"Tigo"
Unakuta mwanamke kwa sura mzuuriii..Lakini kama ni flat screen anapoteza confidence kabisa.
At the same time unaweza kumkuta demu sura nguumuu..Imekunjamana kama kalamba ndimu.Lakini kwa sababu kajaaliwa Makalio mbinuko anajiamini plus kiburi juu.
Makalio a.k.a Wowowo ni SMG kwenu?Kujeni mjitolee tafsiri wenyewe mabibi na wazee wa Mikia.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
24 Jun 2015

Post a Comment

 
Top