March 18, 2025 06:21:24 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
PhotoGrid_1432293123090Kulikuwa na Headlines za story ya staa wa Bongo Movie kuhusishwa kutumia pesa ambazo zilitolewa kwa ajili ya ujenzi wa kaburi la Marehemu Adam Kuambiana ambaye alifariki mwaka 2014.
Kwenye kipindi cha Leo Tena alikuwepo Steve mwenyewe, Dude na watu wengine.. Steve amesema hiyo sio story ya ukweli, hakuna ukweli wowote kwenye ishu ya yeye kuhusishwa na upotevu wa pesa hivo.. Dude nae amethibitisha kwamba Steve hajatumia pesa yoyote iliyotolewa kwa ajili ya ujenzi huo.
Steve alikasirishwa na ishu hiyo, lakini mpaka mwisho wa mjadala wao tayari wamepata suluhu, ila wamelaumu waandishi ambao waliiandika story hiyo kwamba Steve amekula hela iliyotolewa kujengea kaburi la Kuambiana bila kujua suala lote lilivyokuwa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
22 May 2015

Post a Comment

 
Top