March 19, 2025 09:19:40 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Nimevumilia lkn nimeshidwa jamani.. ‪#‎Nuh_mziwanda‬ ni mchizi wangu wa karibu sana na nimeanza kufahamiana naye Long tym sana na hata kazi zake akitoa mie namsaidia kuzipush ktk ‪#‎Media‬ za za ‪#‎Dodoma‬ hata meneja wangu @erickwangu analifahamu 
hilo,Hivyo basi bila ubishi ‪#‎Shishi‬ ni my shem, Ila kwa styl hii daaaa nimeshidwa kuvumilia nikaona ni bora tu share watu wangu wa‪#‎udaku_wa_kibonajoro_ngasa‬ kuwa hii ni sawa jamani? Kumbuka hapo sio Tanzania, Ni mamtoni ambako alikuwa anapiga show, Sasa jiulize wao watatuchukuliaje sisi watanzania?? Kama msanii ambaye ni kioo cha jamii na kazi yake ni kuelimisha jamii kupitia sanaa yake, Sasa cjui anatuelimisha kwa kutuonyesha manyonyo yake au la?? Ila mie sijui
‪#‎Kama_vip_na_iwe_Fundisho‬‪#‎Ikibidi_tuzoee_tu‬ kwa sababu‪#‎hakuna_namna_sasa‬
Share na wenzako.

Credit: BoosNgassa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
11 May 2015

Post a Comment

 
Top