Katibu Mkuu wa Muungano wa vyama vya madereva Tanzania Rashid Saleh anasema madereva wanataka kusikilizwa matakwa yao ili kuachana na mgomo unaoendelea sasa.

Askari wa Jeshi la Polisi wakiwa katika eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es salaam asubuhi ya leo kusimamia usalama kufuatia mgomo wa madereva wa mabasi ulioanza leo kwa mara nyingine kushinikiza kutekelezewa matakwa yao

Mabasi yanayofanya safari zake kati ya Dar es salaam na mikoa ya kusini yakiwa yameegeshwa kwenye kituo cha Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es salaam katika mgomo wa madereva

Kituo cha Daladala cha Mbagala Rangi Tatu kikiwa kimefurika abiria kufuatia mgomo unaoendelea.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment