March 19, 2025 10:41:37 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho akisherehekea kushinda tuzo ya kocha bora wa ligi kuu nchini Uingereza.
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amechaguliwa kuwa kocha bora wa msimu ligi kuuu nchini Uingereza akiungana na mchezaji wake Eden Hazard ambaye alichukua tuzo ya mchezaji bora wa msimu.

 Mourinho ameisaidia Chelsea kutwaa taji la kwanza la ligi kuu nchini Uingereza baada ya kulikosa kwa takribani miaka mitano huku wakivunja rekodi ya kukaa kileleni kwa kukaa siku 274. 

Hii ni mara ya tatu kwa Mreno huyo kutwaa taji hilo pamoja na kutajwa kama kocha bora wa msimu. Aliwahi pia kutwaa mwaka 2004-05 and 2005-06.
hazard_palace_h-22902452

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
22 May 2015

Post a Comment

 
Top