Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel amepondwa na baadhi ya mashabiki wake kwa kupiga picha hizi akionyesha tumbo lake ukizingatia yeye ni mjamzito.
Picha hizi zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii na wengi wameonyesha kuchukizwa na tabia iliyozuka ya mastaa wa Bongo kufanya hivi kwa kuwaiga mastaa wa nchi za ughaibuni.
Wewe, unamaoni gani juu ya hizi
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Bifu Jipya la Wema Sepetu na Aunt Ezekiel22 Jul 20150
Mafahari wawili Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wamezidi ‘kusherehesha’ bifu l...Read more ?
- Aunt Ezekiel Awatibua Waislam Kisa 40 ya Mwanaye17 Jul 20150
Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ambaye jina lake la Kiislam baada ya kubadili dini ni Rahma, ...Read more ?
- Wema Sepetu , Aunt Ezekiel Katika Bifu Upya!.. Kisa Arubaini ya Mtoto wa Aunty15 Jul 20150
URAFIKI wa mashaka! Mastaa wawili wa filamu Bongo, ambao walikuwa mashosti kwa muda mref...Read more ?
- Aunty Ezekiel Kayathibitisha Tena Mapenzi yake kwa Mose Iyobo na Mtoto Wao11 Jul 20150
Wengi sasa hivi tunafahamu ya kuwa Aunt Ezekiel ni mama wa mtoto mzuri wa kike aliempa jina la Co...Read more ?
- Aunt Ezekiel: Nitamuunga Mkono Wema Sepetu Katika Safari Yake ya Kugombea Ubunge03 Jul 20150
Diva wa filamu Bongo ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja anayetambulika kwa jina la C...Read more ?
- Nimezaa nje ya ndoa na Mose Iyobo lakini ndoa yangu ipo pale pale – Aunty Ezekiel01 Jul 20150
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Aunty Ezekiel, amekiri kuzaa nje ya ndoa na kusema kuwa lich...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment