Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Polisi hawaonekani katika mitaa ya mji mkuu wa Burundi, Bujumbura, kwa mujibu wa shirika la habari la AP. Taarifa zaidi zinasema maelfu ya watu wanashangilia jaribio la mapinduzi ya Rais Pierre Nkurunziza, ambaye yuko nchini Tanzania kwa sasa.
          Raia Washangilia mjini Bujumbura





Polisi waliokuwa wakipambana na waandamanaji wameamrishwa kuondoka barabarani.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
13 May 2015

Post a Comment

 
Top