April 18, 2025 08:31:50 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Dakika 90 za mchezo wa ligi kuu Vodacom Tanzania kati ya timu ya Stand United ya Shinyanga na Yanga zimemalizika kwa timu ya Yanga kuifunga Stand United bao 3-2
Mchezo umefanyika katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam


FT' Yanga 3 - 2 Stand United

Magoli Ya Yanga=>Tambwe 30, Ngasa 45, Msuva 77(Penati)

Magoli Ya Stand United =>Kheri Khalifa 21, 65)


Msimamo ligi ya Tanzania

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
21 Apr 2015

Post a Comment

 
Top