
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Cha SAUT Kilichopo jijini Mwanza wamejikuta wakiumia vibaya baada ya kuanza kukimbia hovyo wakidhani wamevamiwa na magaidi. Cha kufurahisha ni kwamba waliyekuwa wanamkimbia kumbe alikuwa ni mwanafunzi mwenzao....
Taarifa kutoka Chuoni hapo zinaarifu kuwa wanafunzi wa shahada ya uzamili katika biashara walikuwa na mtihani leo, ghafla akaingia kijana wa Kisomali darasani.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment