“Shukrani kwako uliyeniumba na ukanipa pumzi ya bule bila kukulipa chochote. Asante kwa wale wote wenye kuniombea mema na kunitakia mafanikio. Asante pia kwa wale wenye kuniombea mabaya mnanipa changamoto ambayo inanifanya nikaze buti kusaka mafanikio kwa kujua sio wote wanaonipenda nasio wote watalia leo nikianguka kimaisha au kufa asante kwa mnaonipa ushauri . Asante mnaonifariji naamini bila watu hakuna mtu mimi ni mtu nyinyi ni watu naendelea vyema na mtaendelea kupata huduma zangu za aina yeyote na nahitaji kuwapa mambo mazuri zaidi kisanaa na kibiashara kwa uwezo wa Mungu”- Wastara ameandika mtandaoniHivi majuzi Wastara alipata ajali ya gari aliyomsababishia majeraha madogo usoni.hivi sasa anaendelea vizuri zaidi.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mwigizaji Wastara Afurahia Kupigwa Chini Ubunge29 Jul 20150
Gladness MallyaBAADA ya kupigwa chini katika kinyang’anyiro cha kuwania Ubunge wa viti maalum kw...Read more ?
- Wastara: Ulemavu Unanikosesha Hamu ya Kuolewa24 Jul 20150
Leo kwenye safu hii mwanadada Wastara Juma yupo hapa kujibu maswali 10 aliyoulizwa na Mwandishi W...Read more ?
- Wastara: Nimeamua Kumpa Bond Nafasi ya Kunioa, Mimi Bado Damu Changa Nikisema Siwezi Kuolewa Tena Najidanganya..Nimempa Bond Sharti Hili02 Jul 20150
Wastara na Bond Mapenzini Brighton Masalu WASTARA Juma Issa Abeid amekiri kuzidiwa na hisia za...Read more ?
- Wastara Asikitishwa na Wanao Sema Anatembea na Wanaume Wengi..Atangaza na Kusema Mwanaume Aliye Mwonja Ajitokeze07 Jun 20150
Brighton masaluVUNJA ukimya! Baada ya kuhusishwa kwa muda mrefu na fununu za kutembea na wanaume ...Read more ?
- Wastara: Hakuna Mwanamke ‘Used’ Kama Hafai Kwako Kuna Mtu Kwake Huyo Mdada ni Malkia19 May 20150
Utamuacha Mwanamke fulani kwa kashfa zote na kejeli za kila namna kwamba hafai na haoleki ILA ...Read more ?
- Wastara Amuanika Mbaya Wake..Kumbe Kisa ni Kuolewa na Marehemu Sajuki18 May 20150
Baada ya kipindi kirefu cha tetesi ya staa wa filamu Wastara kuhofia maisha yake, akihisi upo mpa...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment