Home
»
Askofu Gwajima
» Polisi Wenye Silaha za Moto Waizingira Nyumba ya Askofu Gwajima Huko Sala Sala Jijini Dar
Kinachoendelea Muda huu nyumbani kwa Gwajima ni Polisi wenye silaha za moto wameizingira nyumba ya Gwajima ..Habari tulizozipata ni kuwa Jana Gwajima Alitakiwa aripoti Polisi na Kupeleka Hati za Mali alizo agizwa lakini hakufanya hivyo ..Hivyo muda huu Polisi wako kwake kwa ajili ya kumkamata lakini Mpaka sasa Gwajima amejifungia Ndani na Polisi Wameshindwa kuingia Ndani Kwa ajili ya Kumkamata.....
Update:
SAKATA LA GWAJIMA: Nyumbani kwa Mchungaji Gwajima Jeshi la Polisi tayari limeondoka na sasa waumini wake wamefika nyumbani kwa Mchungaji huyo ila bado hajafungua mlango.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Audio: Gwajima afyatuka tena, amshauri Magufuli aihame CCM....Adai amenasa njama Mbaya14 Jun 20160
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye anafahamika kwa kutoa kauli ‘tat...Read more ?
- Gwajima: Dk. Slaa Basi Tena Ametekwa na Mke Wake Josephine Mushumbusi na Haiwezekani Kumtoa09 Sep 20150
Gwajima ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema Dk. Willibrod Slaa ...Read more ?
- Kauli ya Askofu Gwajima Yamtokea Puani....Aulizwa Malimao Aliyosema Sasa yako Wapi ? Ni Kuhusu Kauli Aliyotoa Arusha Kwenye Mkutano wa LOWASSA23 Jul 20150
Katika Mkutano wa Lowassa Huku Arusha wa Kutangaza nia ya Urais Mchungaji Askofu Gwajima wa Kani...Read more ?
- Gwajima: Asiyempenda Lowassa Akale Limao!!!01 Jun 20150
Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Askofu Josephati Gwajima amesema kwamba mwananchi au...Read more ?
- Gwajima, Flora Mbasha waibukia mkutano wa CHADEMA Kawe, ni ule wa kuzindua kitabu cha Mbunge25 May 20150
MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, na mwibaji nguli wa muziki wa Injili Fl...Read more ?
- Upelelezi Kesi ya Askofu Josephat Gwajima Mbioni Kukamilika05 May 20150
UPELELEZI wa kesi inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji Josephat Gw...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
kama hana makosa kwanini anajifungia
Post a Comment