Home
»
Stori muhimu
» Hackers wa Nigeria kwenye Headlines tena.. Safari hii ni ishu ya Website ya Tume ya Uchaguzi
Nigeria wanafanya Uchaguzi Mkuu leo March 28 2015, moja ya vitu ambavyo vimekuwa vikisikika sana kutoka ndani ya nchi hiyo ni ishu ya mashambulizi ya kundi la Boko Haram, hivyo wengi wanafuatilia kwa ukaribu Uchaguzi huo kutokana na hali ya usalama kutokuwa nzuri.
Ripoti zimeonesha kuwa hali ni shwari na watu wanaendelea kupiga kura, kilichoripotiwa muda mfupi uliopita ni ishu ya Website ya Tume ya Uchaguzi kuvamiwa na wahalifu wa mitandaoni ambao wamehack na kuweka ujumbe ambao unaonya Tume hiyo kuhakikisha haifanyi udanganyifu wowote kwenye uchaguzi huo.
Ishu ya Website za Serikali ya Nchi hiyo kuvamiwa hii sio mara ya kwanza, iliwahi kuripotiwa pia story ya hackers kuvamia Website ya Bunge la Nchi hiyo.
Nigeria imekuwa kwenye Headlines kuhusishwa sana na ishu za hacking kwenye mitandao.
Jamaa waliovamia Website hiyo wanajiita ‘Jeshi la mtandaoni la Nigeria’ , Tume hiyo haijatoa taarifa yoyote mpaka sasa kama kuna athari yoyote itakayotokea kwenye Uchaguzi huo kutokana na uvamizi uliofanyika.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kurudiwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar22 Jan 20160
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza rasmi tarehe ya kuru...Read more ?
- Rais Dkt. Magufuli Amteua Jakaya Kikwete Kuwa Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam.21 Jan 20160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa awamu ...Read more ?
- JANUARY MAKAMBAASHANGAZWA NA HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU LOWASSA02 Sep 20150
Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfa...Read more ?
- Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi01 Sep 20150
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafun...Read more ?
- Wananchi Wafunga Barabara Baada ya Gari la Polisi Kugonga Wanafunzi wawili31 Aug 20150
Wananchi wa eneo la Misugusugu Wilayani Kibaha Mkoani Pwani hii leo wamefunga barabara baada ya...Read more ?
- Hali Tete Bunda, Viongozi CHADEMA Wajiuzulu...Kisa Ester Bulaya22 Aug 20150
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maend...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment