Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Rooney

Manchester United leo wameitandika Tottenham magoli 3 kwa bila na kuisogelea timu ya Arsenal nyuma kwa point moja 56 huku Arsenal ikiwa na point 57, Man United walianza kuandika bao la kwanza kupitia kwa  Kiungo mbeligji Fellaini katika dakika ya 9 mnamo dakika ya 19 Michael Carrick akaipatia goli la pili kabla ya mapumziko Wayne Rooney akatupia goli la 3 katika dakika ya 33 ya mchezo. timu hizo zilikwenda mapumziko man united wakiongoza magoli 3 bila kipindi cha pili timu zilifanya mabadiliko lakini hayakuleta mabadiliko yeyote mpaka mpira unakwisha Man united 3 Tottenham bila.

Flat on his back, Rooney mocks reports of a boxing incident with friends, including Phil Bardsley, at his home 

Tottenham defender Eric Dier's sliding challenge comes too late as Fellaini keeps his composure and places his left-footed shot

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
15 Mar 2015

Post a Comment

 
Top