April 1, 2025 10:08:42 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Wawakilishi wa Shirika la Umoja wa wamachinga Tanzania SHIUMA,pamoja na viongozi wa UVCCM kata za jiji la Mwanza wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa nyumbani kwake Ngarash Monduli mwishoni mwa wiki mara baada ya kumkabidhi mchango wa shilingi milioni moja ili achukue fomu kuwania urais kupitia CCM.Pia walimkabidhi Ngao na mkuki atakavyotumia katika safari yake ya matumaini.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akionesha kitambulisho cha uanachama wa shirikisho la Umoja wa wamachinga Tanzania (SHIUMA) baada ya kukabidhiwa na uongozi wa shirikisho hilo mwishoni mwa wiki huko Monduli.Pia alikabidhiwa shilingi milioni moja na ombi la kumtaka achukue fomu kuwania urais kupitia CCM.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akihesabu Fedha kiasi cha Shilingi Milioni 1, alizopewa na Shirika la Umoja wa Wamachinga Tanzania pamoja na Umoja wa Vijana wa CCM  (UVCCM) kata za jiji la Mwanza ili achukue fomu kuwania urais.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
15 Mar 2015

Post a Comment

 
Top