Udaku TV imefanya mahojiano ya kina na msanii wa Filamu Nchini, Hemed PHD ambaye pamoja na mambo mengine ameeleza sababu za kutumia poda na lipshine za kike, Ndoa yake kubuma na kwa nini mademu wanapenda kumshobokera.
Msikilize hapo chini Akifunguka.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment