March 19, 2025 10:51:54 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Zhang Lidong
Wanachama wawili wa kundi la ushirikina nchini Uchina wamenyongwa kwa madai ya kumuua mwanamke mmoja katika mkahawa wa McDonald's.
Mwanamke huyo alichapwa na wanachama wa kundi hilo, linalojulikana kama kanisa la Mwenyezi Mungu, baada ya kukataa kuwapa nambari ya simu yake.
Mashambulizi hayo yalitokea katika jimbo la mashariki mwa Shangdong Mei mwaka jana.
Macdonald
Vyombo vya habari vya Kichina vimesema wanachama hao wa ushirikina waliyouawa ni baba na binti yake.
Kanisa hilo linaamini kuwa yesu alifufuka kama mwanamke wa kichina

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
02 Feb 2015

Post a Comment

 
Top