Home
»
Kimataifa
» Baada ya kuchoshwa na uonevu unaofanywa kwa mama yake, jamaa aamua kumchoma kisu dada yake
Jamaa mmoja huko Taiwan mama yake alikuwa anaumwa, baada ya kutbiwa Hospitali alirudishwa nyumbani kwa mapumziko lakini mtoto wake wa kike hakuonekana kujali hali hiyo ya mama yake, alikuwa akimsumbua mama huyo mara kwa mara kudai hela kitu ambacho kaka yake hakupendezwa nacho.
Kaka huyo ambaye anaitwa Wang aliamua kumchoma kisu dada yake kutokana na kutopendezwa na usumbufu anaofanyiwa mama yake huo, ambapo dada huyo alifariki.
Wang muda mwingi hukaa nyumbani kumhudumia mama yake na kufanya kazi zote za nyumbani, ikiwemo kupika na kufanya usafi lakini dada yake hakuwa msaada wowote kwa mama yake, ni mtu wa kushinda na rafiki zake.
Baada ya kufanya mauaji hayo alishafisha eneo hilo, akamuandalia mama yake breakfast na chakula cha mchana, baada ya mama yake kupumzika Wang aliwaita Polisi na kukiri kuhusika na tukio hilo kutokana na kuchoshwa na matatizo ya nyumbani kwao na kudai kuwa dada yake mara nyingi amekuwa akimuonea mama yao ikiwemo kumdai fedha kila siku na kwenda kutumia na rafiki zake.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.07 Sep 20160
Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki ...Read more ?
- Ufaransa yapiga marufuku vazi la kiislamu ufukweni ‘burkini’26 Aug 20160
Mahakama kubwa nchini Ufaransa imeombwa kuiondoa marufuku iliyotolewa kwenye miji 26 nchini humo k...Read more ?
- Ni Kosa Kumwangalia Mwanamke Kwa Sekunde 14 Nchini India19 Aug 20160
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamelalamika kuhusu tamko la afisa mmoja aliyesema kuwa ni kinyu...Read more ?
- Trump asema Hillary Clinton ni 'shetani'02 Aug 20160
Mgombea wa chama cha Republican nchini marekani Donald Trump amemtaja mshindani wake wa chama c...Read more ?
- Aliyeandika Hotuba ya Mke wa Donald Trump iliyoleta Gumzo Marekani Akiri Kosa lake21 Jul 20160
Mfanyakazi mmoja wa bwenyenye mgombea kiti cha urais wa Marekani kwa tikiti cha chama cha Republi...Read more ?
- Muuaji wa Orlando alitembelea kilabu ya wapenzi wa jinsia moja14 Jun 20160
Ripoti kutoka Orlando Marekani zasema Omar Mateen, mtu aliyewafyatulia risasi na kuwaua watu 49 ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment