Siku si nyingi sana mwanamama Snura wa Majanga amejifungua mtoto wake wa pili. Kumekua na maneno kua Snura hataki watu wamuone mtoto wake na hata hakupenda watu wajue kua kajifungua. Mpya kutoka kwa Snura jinsi mwili wake ulivyoongezeka uzito.
Snura mwenyewe kupitia akaunti yake ya instagram ameweka picha hii na kuambatanisha na ujumbe huu "Kupungua kunanihusu.....si kwa ubonge huu"
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment