Moja kati ya akaunti kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.
Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa asitoboe. Akaunti hii ndio ilikuwa ya kwanza kutoa picha za Wema akiwa na mpenzi wake mpya Ommy Dimpoz.
Swali je kama ni kweli, nani atakuwa muhusika wa ujauzito huo?...
Muda utazungumza
Post a Comment
Post a Comment