Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Timu ya Yanga inafanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3 - 0 dhidi ya Prisons,kupitia kwa magoli ya Msuva akimalizia kona za Andrey Coutinho dakika ya 3 na 63 huku Andrey Coutinho akifunga katika dakika ya 11.
Kwa matokeo haya Yanga wanakaa kileleni kwa pointi 28 huku Azam akishuka hadi nafasi ya 2 kwa pointi 26 baada ya kutoka sare dhidi ya ruvu shooting.
MSimamo wa Lgi kuu 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top