Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
(null)
Baada ya kushindwa kupata ushindi katika mechi 5 mfululizo dhidi ya wapinzani wao wa jadi kabisa – Real Madrid leo walivuka kutoka upande mmoja wa mji wa Madrid na kwenda mpaka katika dimba la Vicente Carlderon pembezoni mwa jiji la Madrid kucheza dhidi ya Atletico Madrid.
Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa timu zote mbili umemealizika kwa Madrid kupata kipigo kizito kabisa katika kipindi cha miezi 12 iliyopita – kwa kufungwa 4-0.
Magoli ya Atletico Madrid yalifungwa na Tiago, dakika ta 14, Ñíguez dakika ya 18, Griezmann akaongeza 67 kabla ya Mandzukic kuongeza dakika za mwisho za mchezo huo.
Hii ni mechi ya sita mfululizo Madrid wanashindwa kupata matokeo chanya dhidi ya wapinzani wao.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top