Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza kupitia TBC 1.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza kupitia TBC 1.
Kumekuwa na story jioni ya leo Dar kuhusu kikundi cha watu cha ‘Panya Road’ kuvamia maeneo mbalimbali, kupora vitu na kupiga watu.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova amezungumza kupitia kituo cha TBC1, amesema kuwa wananchi wanapaswa kuwa na amani kwa kuwa kikundi hicho kina wahalifu wachache, tayari kuwa wawili ambao wamekamatwa na oparesheni inaendelea ili kuwadhibiti.
Unaweza kusikiliza mahojiano yote hapa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top