Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
.
.
Story inayoendelea kuchukua headline muda huu kuhusiana na taarifa za kikundi cha wezi maarufu kama Panya Road ambacho kinaaminika kuvamia maeneo kadhaa ya Dar es Salaam ikiwemo Sinza, Mwananyamala, Tabata na sehemu nyingine.
Millardayo.com imepata nafasi ya kuzungumza na producer Sheddy Clever pamoja na Mtangazaji wa Jahazi Ephrahim Kibonde  ambao walishuhudia tukio la uvamizi wa kikundi hicho.
Credit Millardayo

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top