Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Rappa Rick Ross na Meek Mill walitembelea mchora tattoo maarufu Unroyal Ink Tattoo Studio ili kuongeza wino kwenye sehemu tofauti kwenye miili yao. 

Rick ross ameongeza tatto 7 usoni kama Logo ya timu ya kikapu ya Miami Heat na logo ya MMG huku Meek Mil akiweka Logo ya MMG kwenye kiganja cha mkono wake. 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top