Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mchumba wa siku nyingi wa staa wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' , Siwema Edson'Mama Curtis' amepost  picha za mahaba akiwa kitandani na mzazi mwenzie huyo kupitia Account yake ya Instagram, Siwezi ambae siku za nyuma alikuwa Gumzo mitandaoni baada ya Video yake akivishwa pete na Pedeshee kuvuja , Nay na Siwezi Hivi Karibuni Wamejipatia Mtoto wa kiume ..

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top