Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mwigizaji na mwanamkizi, Zuena Mohammed 'Shilole' ambae ni mama wa watoto wawili,kama mzazi leo hii amewandikia ujumbe mzito watoto wake mara baada ya kubamdika picha yao hiyo hapo juu. 
“Hawa ndo wananifanya mm naenda resi kila siku! Nawapenda sana watoto wangu! Rahma na joyce! Shule ndo zishafunguliwa mkasome! Mtimize zile ahad zenu! Hahahahaah Rahma kaniahid eti ataninulia private jet! Wakati Joyce kaniahid kunijengea nyumba yenye kila kitu ndani! Hahhahahhh wanangu wanipa raha sana! Kuzaa raha jaman”- Shilole alimaliza 
Ujumbe mzuri sana huu!!

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top