POLISI mmoja wa kike ameuawa kwa risasi huku wafagiaji wa mitaani wakijeruhiwa baada ya kushambuliwa na mtu aliyekuwa na silaha katika shambulio la pili ndani ya saa 24 lililotokea eneo la Montrouge jijini Paris nchini Ufaransa.
Shambulio la leo limetokea kusini mwa mji wa Paris huku mshambuliaji aliyekuwa amaevaa nguo ya kuzuia risasi 'bullet prof' akitumia silaha aina ya M5.
Polisi huyo alisimaa mtaani kukagua ajali iliyotokea barabarani kabla ya kushambuliwa na mtu huyo.
Shuhuda wa shambulio hilo anadai kusikia milio ya risasi tano kwenye tukio hilo.
Shambulio hilo limetokea ndani ya saa 24 baada ya shambulio la jana katika ofisi za magazeti ya vikatuni ya Charlie Hebdo jijini Paris, Ufaransa lililoua watu 12 na kujeruhi kadhaa. Bado haijafahamika kama shambulio la leo lina uhusiano wowote na lile la jana.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.07 Sep 20160
Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki ...Read more ?
- Ufaransa yapiga marufuku vazi la kiislamu ufukweni ‘burkini’26 Aug 20160
Mahakama kubwa nchini Ufaransa imeombwa kuiondoa marufuku iliyotolewa kwenye miji 26 nchini humo k...Read more ?
- Ni Kosa Kumwangalia Mwanamke Kwa Sekunde 14 Nchini India19 Aug 20160
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamelalamika kuhusu tamko la afisa mmoja aliyesema kuwa ni kinyu...Read more ?
- Trump asema Hillary Clinton ni 'shetani'02 Aug 20160
Mgombea wa chama cha Republican nchini marekani Donald Trump amemtaja mshindani wake wa chama c...Read more ?
- Aliyeandika Hotuba ya Mke wa Donald Trump iliyoleta Gumzo Marekani Akiri Kosa lake21 Jul 20160
Mfanyakazi mmoja wa bwenyenye mgombea kiti cha urais wa Marekani kwa tikiti cha chama cha Republi...Read more ?
- Muuaji wa Orlando alitembelea kilabu ya wapenzi wa jinsia moja14 Jun 20160
Ripoti kutoka Orlando Marekani zasema Omar Mateen, mtu aliyewafyatulia risasi na kuwaua watu 49 ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment