Matukio ya wanawake kukata tamaa ya kuolewa kwa miaka ya sasa yameanza kuonekana ni ‘fashion’ huku wengi wakiona ni jambo la kawaida kuishi maisha ya peke yao.
Yasmin Eleby mwenyeji wa Houston, Marekani ameamua kufunga ndoa ya peke yake baada ya kufikisha miaka 40 bila kuona dalili yoyote ya kuolewa.
Eleby aliamua kufanya siku yake hiyo kuwa ya tukio muhimu kama ambavyo alikua akiota siku moja atakuja kuolewa na kufurahia siku hiyo ambapo aliwaalika baadhi ya ndugu zake na marafiki na kuamua kufanya sherehe hiyo katika ukumbi wa makumbusho waHouston Museum.
Taratibu zote za arusi zilifuatwa na wageni waliohudhuria wakiwemo ndugu wa karibu na walimsapoti na kufurahia sherehe hiyo.
Mwanamke huyo amepanga pia kwenda fungate ambapo atatembelea miji ya Laos, Cambodia, and Dubai.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ni Kosa Kumwangalia Mwanamke Kwa Sekunde 14 Nchini India19 Aug 20160
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamelalamika kuhusu tamko la afisa mmoja aliyesema kuwa ni kinyu...Read more ?
- Pichaz: Ajali za kuchekesha… zinazotokea alafu unatamani kujua kama ni kweli na ilikuwaje?30 Jul 20150
Kuna ajali nyingine kwenye hizi picha unaona kabisa hii inawezekana ilitokea lakini kasoro ajali...Read more ?
- Nikiridhishwa KITANDANI sharti nimsifie mume Wangu- Joyce Kiria24 Jul 20150
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria ametoa kali ya mwaka kwa kueleza kuwa, akis...Read more ?
- Njiwa mwenye Hirizi Asababisha Timbwili Baa09 Jun 20150
Timbwili la aina yake lilizuka mwishoni mwa wiki iliyopita baada njiwa aliyekuwa amefungwa hiriz...Read more ?
- Siku Moja Kabla ya Ndoa...Bi Harusi Agoma Kuolewa...Bwana Harusi Aangua kilio, Pilau Ladoda29 May 20150
Chande Abdallah na Deogratius Mongela KIMENUKA! Ikiwa ni siku moja tu kabla ya kufungw...Read more ?
- Makubwa! Bibi Harusi Atoweka Siku 4 Kabla ya Ndoa Yake28 May 20150
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa’ (28) mkazi wa...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment