April 11, 2025 12:28:20 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Villarreal wamethibitisha kuwa Arsenal wamekubali kumsajili beki Gabriel Paulista kwa uhamisho wa zaidi ya pauni milioni 11.
Villarreal pia wametangaza kuwa mshambuliaji wa Arsenal Joel Campbell atajiunga nao hadi mwisho wa msimu kwa mkopo wa miezi sita.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
25 Jan 2015

Post a Comment

 
Top