Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Prince Ali bin Al HusseinMakamu wa rais wa shirikisho la soka duniani, FIFA, Prince Ali Bin Al Hussein atachuana na rais wa sasa Sepp Blatter kuwania nafasi hiyo.
Prince, 39, raia wa Jordan, atasimama kama mgombea kwenye uchaguzo wa rais wa fifa utakaofanyika 29 May. Blatter, 78, atakuwa anawania kwa mara ya tano.
Chanzo: BBC Sports

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top