Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Alexis Sanchez scored twice to help Arsenal to a 3-0 Premier League victory against Stoke on SundayArsenal imeichapa mabao 3-0 stoke city katika mchezo wa ligi kuu ya England uliochezwa leo jioni uwanja wa Emirates, London.
Laurent Koscielny aliwafungua Arsenal bao la kwanza katika dakika ya sita kwa kichwa kabla ya Alexis Sanchez kufunga la pili dakika 33 ya mchezo na akahitimisha katika dakika 49 kipindi cha pili.
katika mchezo huo Arsenal ilipata pigo matheiu Debuchy kuangukia bega kwenye mabango ya matangazo pembezoni mwa mwa Uwanja baada ya kupushiwa na mchezaji wa Stoke City Marko Arnaoutovic.Arnautovic shows concern for Debuchy shortly after pushing the Frenchman in the back
Arsenal: Ospina, Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Monreal,Coquelin, Oxlade-Chamberlain, Rosicky, Cazorla, Alexis, Giroud. Akiba: Szczesny, Bellerin, Flamini, Ramsey, Ozil, Campell, Walcott.
Stoke City: Begovic; Cameron, Wollscheid, Shawcross, Pieters; Nzonzi, Whelan; Arnautovica, Bojan, Walters; Crouch. Akiba: Butland, Muniesa, Ireland, Wilson, Moses, Adam, Sidwell.German midfielder Mesut Ozil made his first appearance for three months after coming on for Olivier Giroud in the 72nd minute
Arsenal legends Thierry Henry (centre) and Robert Pires (right) look on as their former team take on Stoke at the Emirates
Arsenal legends Thierry Henry (centre) and Robert Pires (right) look on as their former team take on Stoke at the Emirates
Asmir Begovic fails to stop Sanchez's second half free-kick which hit the post before rebounding across the line

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top