Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Staa Diamond Platnumz ambaye jana alikuwa akipiga show kali pale nchin Rwanda akiwa na mpenzi wake Zari the Boss Lady na kwa mujibu wa mashabiki wa Uganda wanasema wanaona kama Zari Hassan ndie mwanamke wa maisha ya Diamond Platinumz kutokana na yeye kujali sana kazi za mpenzi wake ambapo wamekuwa wakisafiri kila mara licha ya kwamba Zari anabishara zake lakin yuko Radhi kuziacha na kumpa Company mpenzi wake, Zari ambaye amempita Diamond kwa miaka mingi lakin siku zote umri ni namba tu kikubwa ni Penzi acha Ubuyu uendeelee 
Wapendanao hao jamani kila la kweri acha ubuyu uendeelee kumwagika .

Show hiyo ilifanyika katika viwanja vya Amahoro Stadiumna unaweza kujionea kilichotokea mwanzo mpaka kwenye picha hizi.


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top