Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Diamondz
Usiku wa January 8, ilikuwa ni siku ambayo  Shirikisho la Soka  Afrika, CAF walitoa Tuzo  kwa Wachezaji  Bora wa Afrika waliofanya vizuri kwa mwaka 2014.
Hapa nimekuwekea Pichaz za Redcarpet  za baadhi ya mastar waliohudhuria sherehe hizo pamoja na matukio mbalimbali ikiwemo show ya P  Square, Diamond Platnumz, Flavourna Fally Ipupa.
Msanii Lynxxx wa Nigeria.

.
Muigizaji anayewakilisha Nolywood, Ini Edo.

.
Muigizaji wa Nolywood, Van Vicker.

Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0003-400x600
.
Muigizaji wa Noloywood, Richard Mofe-Damijo

Mchekeshaji Bovi (huyu alitokea kwenye video ya Yemi Alade ya 'Johnny')
Mchekeshaji Bovi (huyu alitokea kwenye video ya Yemi Alade ya‘Johnny’)
.
Mchezaji Jay Jay Okocha.

Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0006-400x600 - Copy
Golikipa Vincent Enyeama, huyu alikuwa akiwania pia tuzo hiyo.
Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0060-400x600
Msanii 2 Face Idibia.
Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0067-400x600
.
Asisat Oshoala, mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Nigeria.

.
Mchezaji Yaya Toure akiongea baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hiyo.

Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0055-600x400
Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0056-600x400
Diamondz
Diamond Platnumz akifanya show.
.
Msanii Flavour akifanya show.
Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0026-600x400 - Copy
Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0044-600x400
.
Msanii Fally Ipupa.
.
P Square.
Glo-CAF-Awards-January-2015-BellaNaija0081-600x400

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top