Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Zitto Kabwe

Mh Zitto Kabwe ambaye ni mbunge wa Kigoma Kasazini kupitia akaunti yake ya facebook ametoa ya moyoni baada ya taarifa za Mh Jaji Frederick Warema Kujizulu na hii ndio kauli yake 

"Nimepokea taarifa ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kujiuzulu na nimeshangazwa na sababu alizozitoa kujiuzulu. Alipaswa kufukuzwa kazi na kufikishwa mahakamani kwa uzembe na matumizi mabaya ya ofisi. Hata Rais Kikwete asipofanya hivyo, Rais ajaye atafanya hivyo".

Uthibitisho wa hili bofya Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top