March 23, 2025 12:16:24 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mara baada ya timu ya Simba kuibuka mtani JEMBE , baada ya hiil leo(jana) kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya timu ya Yanga, muigizaji  wakike maarufu, Jackline Wolper aliweka picha hii matandaoni na alipoulizwa kuwa yeye ni mnyama ama la, Wolper alisema.
"Hayo Mavazi tuu mimi ni Yanga yanga yanga ..Yanga woyeeeee ..okey byee sema leo nilipenic sana".
Sasa jiulize maneno haya niyakweli au?!! Au ni Yanga Ukawa….Hehehe. Hongereni Simba na poleni sana mashabiki wa Yanga.
Ungana nasi katika Facebook na Umechekeshwa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
14 Dec 2014

Post a Comment

 
Top