Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akipozi katika picha na mashabiki baada ya shoo ya nguvu Dar Live.
Diamond akiwa na tuzo pamoja na cheti baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Ijumaa Sexiest Bachelor.
Diamond Platnumz akifanya makamuzi ya hatari Dar Live.
Diamond akifanya yake stejini.
Diamond akicheza na dansa wake.
Mfalme wa Taarab, Mzee Yusuf akilishambulia jukwaaa la Dar Live na kuwaacha hoi mashabiki waliofurika vilivyo.
Mzee Yusuf akifanya yake stejini.
Mzee Yusuf na madansa wake wakionyesha umahiri wao juu ya steji ya kupanda na kushuka ya Dar Live.
~GPL

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top